Archive for October 22nd, 2008

  • gerrald na uncle ndani ya london

    gerrald na uncle ndani ya london

    gerrald kazinja akiwa na uncle wake wakila bata ndani ya london baada ya kuchomwa sana na jua la bongo,kaka karibu ulimwenguni

    Full Story

  • shaban othman aka suka aki show luv na zamaradi

    shaban othman aka suka aki show luv na zamaradi

    msanii wa bongo flavour suka ambaye aliwai kutoa song linalokwenda kwa jina la mipasuo akitumia beat ya mwana fa yuko kimya sana kiasi cha mashabiki wake kuulizia vipi atarudi tena au ndio game la moto?kwa taarifa ambazo ninazo ni kuwa suka ana mawe kadhaa ambayo...

    Full Story

  • msaniii bora wa kike wa maigizo bongo

    msaniii bora wa kike wa maigizo bongo

    msanii riyama ameonekana kuwa msanii bora wa kike kwa siku za usoni baada ya kufanya vizuri katika uigizaji wa filamu bongo kwa kuwa na mvuto na kila kitu msanii huyo malisema atazidi kukomaa adi kieleweke kwani sanaa ndio maisha yake na si kingine

    Full Story

  • chege chigunda na manyema family kwa mj

    chege chigunda na manyema family kwa mj

    said juma au chege mtoto wa mama said kutoka kundi la wanaume tmk linaloongozwa na amani temba au mheshmiwa temba toka kiumeni ameamua kufanya kazi na wasanii wa kundi la manyema family ambako chege alitokea kabla ya kwenda kiumeni,wameingia katika studio za mj na kufanya...

    Full Story

  • Stara back again collabo na chi,chi,chid wa la familia

    Stara back again collabo na chi,chi,chid wa la familia

    msaniii wa kike stara thomas mwana zouk maarufu nchini tanzania ameamua kurudi tena na kuamua kufanya kazi na chidy benz wa la familiah stara aliseama ujio wake uko sawa na kuwakandamiza wapinzani na wasanii wasio halisi katika game kwani mkongwe ni mkongwe na hakuna wa...

    Full Story

  • nafanya music kama talent na sio kazi

    nafanya music kama talent na sio kazi

    msanii haji noorah maarufu kama noorah amesema atazidi kujikita kimasomo zaidi baada ya kugundua kuwa mziki haulipi kivile kwani kazi anazofanya ni tofauti na malipo ambayo anapata so ameamua kusoma zaidi kama afanyavyo mdogo wake ibrah noorah ambaye yuko st joseph college uko mbezi dar...

    Full Story