babu nje ya tmk wanaume halisi


inspector haroun aka tripple 5 aka babu aliyekuwa muasisi wa kundi la wanaume halisi amejitoa kwa kundi hilo na kuamua kuwa solo artist,amedai kuwa kisa au sababu ya kujitoa ni maslahi hayaridhishi na pia washabiki wake wanaulizia zaidi kazi zake binafsi huyu ndio inspector wa haroun

Share and Enjoy:
  • Print
  • Digg
  • MySpace
  • Twitter
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • Reddit
  • Technorati

Related posts:

  1. juma nature apatwa na kigugumizi kuhusu inspector
  2. Baba Levo nje ya TMK Halisi..
  3. wanaume kazini
  4. Tundaman,Spark vipi?
  5. Nimejitoa Rackaz 4 gud-Mo Racka.

About the Author