
Tarehe rasmi za lini tamasha la sauti ya Busara imetangazwa rasmi na inatarajia kufanyika kuanzia tarehe 12 mpaka tarehe 17 mwezi wa pili huko Zanzibarhe.
Tamasha hilo litakuwa bure kwa mtu yeyote atakayejisikia kuhudhuria kuanzia asubuhi mapka jioni.
Mbali na hayo wanasanaa mia nne wanatarajia kushiriki kwenye tamasha huilo na wanamuziki arobaini wanaochipukia kutoka nchini.
Tamasha hili ni la sita kufanyika nchini.
Related posts:
