Mwanamuziki wa miondoko ya Dancehall nchini,Mr Simple,aliyewahi kutamba na nyimbo zake kama ‘Mr Simple’ na ‘Father Of Dancehall’ arudi tena kwenye gemu na kuahidi kufanya makamuzi zaidi mpaka wabongo waweze kuelewa nini maana ya dancehall.
Akiongea na angaliabongo,Mr Simple alisema anatarajia kuachia track yake itakayoitwa ‘Nimestuka’ ambayo amemshirikisha Jackline mapema baada ya mfungo kuisha.
“Nimerudi kwenye gemu na naahidi kufanya mapinduzi halisi kuhusu muziki wa dancehall ambao unaonekana kupuuziwa sana hapa Bongo”Alisema.
Related posts:

Duh Eh Bana longtime huyu msel nakumuka alikuwaga love forever…anajitahidi sana jamaa na sanaa yake alikuwa wapi mbona ndio anarudi tena?
Je atauweza ushindani uliopo kweny game kwa sasa?
Mr Simple madancehall unayaweza.
Wa gwan mani
Reggae, Dancehall and Ragga 4ever mani
One Blood