About Angalia Bongo
Hey how you doing DEAR fan! Thanks for passing By in my world...SARAH, was born in the middle of 80’s.. By proffesion a journalist and always straight with what is on my mind..İ enjoy life to the fullest and always believe in Jesus, Remember İm a pure Christian... Love friends and believe to DİE with something as was born with NOTHİNG…İ think thats to much to know about me.Anyting contact;angaliabongo@yahoo.com Thanks for passing by xoxox..... Read More
Sikiliza BongoFlava
Blogroll
- Africa Bambataa
- Afrojam
- Anh Vu
- Blazing Zone
- Bongo Celebrity
- Bongo Star Link
- Candy World
- Changamoto
- Dee
- Dina Marios
- Fashion Junkii
- Jamii Forums
- Jiachie
- John Kitime
- Karibu Nyasa
- Kisima Cha Fikra
- Kulikoni Ughaibuni
- Ladies Stuff
- Loveness Luv
- Maisha na Mafanikio
- Matukio UK
- Mtaa Kwa Mtaa
- Sauti za Bongo
- Shamim
- Sheria na Mavazi
- Simon
- Subi
- Swagga Bovu
- Total Knockout
- U-TURN
- Viva Afrika
Archive for September 24th, 2008
-
Salamu kutoka kwa mdau
Posted on September 24, 2008 | No Commentshellow!!!!!!!! am very happy to visit your blog its really nice all the best in your blogging, am your big visitor of your blog. Regards Japhet Charles Lupondo -
Dully huyu hapa na ‘Watasimulia’
Posted on September 24, 2008 | 5 CommentsTukubali na msemo wa kwamba Dully ni mkali jamani.Wimbo wake mpya ulioachiwa jana tu unaokwenda kwa jina la ‘Watasimulia’.Pata nafasi ya kuusikiliza na utakubaliana na mimi! -
Blac kwenye tuzo za Channel O
Posted on September 24, 2008 | 3 CommentsMsanii wa rap nchini,Blac ni mmoja kati ya mwanamuziki aliyechaguliwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania tuzo za Channel O.Wewe kama Mtanzania unatakiwa kumpa sapoti Blac kutoka nchini kwako…..mwisho wa kupiga kura ni kesho! -
Anachofanya ni nini huyu?
Posted on September 24, 2008 | 3 CommentsMitaa flani hivi,alikutwa huyu jamaa,ebu mdau jaribu kutambua kitu alichokuwa anafanya…… -
2 LATE mpya dukani kutoka kwa Cheni..
Posted on September 24, 2008 | 2 CommentsAkiwa na Violeth ndani ya 2 Late MSANII mahiri wa filamu nchini Muhsein Awadh ni mmoja wa waigizaji ambao kwa kiasi kikubwa wameweza kujipatia umaarufu na katika sanaa hii ya uigizaji hapa nchini.Filamu yake ya kwanza kuitunga na kuiongoza mwenyewe, ilikuwa ni ‘Why Me’, lakini...
