Akiwa studio akiendesha kipindi…

Ni Sophia Kessy,muendeshaji kipindi cha ‘Afrika Bambataa’ kinachorushwa katika redio ya watu,Clouds Fm.
Ameweza kupata umaarufu mkubwa kutokana na uendeshaji wake wa kipindi hiko pamoja na kuyarusha masebene ya nguvu yanayosababisha!!
Mbali na fani ya utangazaji,Sophia ni fundi mitambo hivyo anamudu sehemu mbili tofauti…Alizaliwa na kipaji cha utangazaji…jua hilo!
Ni mtu flani poa kinyume na unavyoweza kufikiria….ni Sophia Kessy!!

Related Posts

  1. Happy Bday B 12!
  2. De Plaizir atua Bongo
  3. Bongoman kudondoka Bongo 20th
  4. ay,balozi wa malta afrika mashariki
  5. Kujitolea muhimu kwa jamii!